Skip to content
Isaya 47:1-2

Isaya 47:1-2

1
“Shuka uketi mavumbini, ee Bikira Binti Babeli; keti chini pasipo na kiti cha enzi, ee binti wa Wakaldayo. Hutaitwa tena mwororo wala wa kupendeza.
2
Chukua mawe ya kusagia, usage unga, vua shela yako. Pandisha mavazi yako, ondoa viatu vyako, vuka vijito kwa shida.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options