Skip to content
Isaya 45:23-25

Isaya 45:23-25

23
Nimeapa kwa nafsi yangu, kinywa changu kimenena katika uadilifu wote neno ambalo halitatanguka: Kila goti litapigwa mbele zangu, kwangu mimi kila ulimi utaapa.
24
Watasema kuhusu mimi, ‘Katika Bwana peke yake ndiko kuna haki na nguvu.’ ” Wote ambao wamemkasirikia Mungu watamjia yeye, nao watatahayarika.
25
Lakini katika Bwana wazao wote wa Israeli wataonekana wenye haki na watashangilia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options