Skip to content
Isaya 45:23-25

Isaya 45:23-25

23
Nimeapa kwa nafsi yangu, kinywa changu kimenena katika uadilifu wote neno ambalo halitatanguka: Kila goti litapigwa mbele zangu, kwangu mimi kila ulimi utaapa.
24
Watasema kuhusu mimi, ‘Katika Bwana peke yake ndiko kuna haki na nguvu.’ ” Wote ambao wamemkasirikia Mungu watamjia yeye, nao watatahayarika.
25
Lakini katika Bwana wazao wote wa Israeli wataonekana wenye haki na watashangilia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options