Skip to content
Isaya 43:18-19

Isaya 43:18-19

18
“Msiyakumbuke mambo yaliyopita, wala msiyatafakari mambo ya zamani.
19
Tazama, nitafanya jambo jipya! Sasa litachipuka, je, hamtalitambua? Nitafanya njia jangwani na vijito vya maji katika nchi kame.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options