Skip to content
Isaya 40:30-31

Isaya 40:30-31

30
Hata vijana huchoka na kulegea, nao vijana wanaume hujikwaa na kuanguka,
31
bali wale wamtumainio Bwana atafanya upya nguvu zao. Watapaa juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio wala hawatachoka, watatembea kwa miguu wala hawatazimia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options