본문으로 건너뛰기
Isaya 40:18-20

Isaya 40:18-20

18
Basi, utamlinganisha Mungu na nani? Utamlinganisha na kitu gani?
19
Kwa habari ya sanamu, fundi huisubu, naye mfua dhahabu huifunika kwa dhahabu na kuitengenezea mikufu ya fedha.
20
Mtu aliye maskini sana asiyeweza kuleta sadaka kama hii huuchagua mti usiooza. Humtafuta fundi stadi wa kusimamisha sanamu ambayo haitatikisika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options