Skip to content
Isaya 32:7-8

Isaya 32:7-8

7
Taratibu za mtu mbaya kabisa ni ovu, hufanya mipango miovu ili kumwangamiza maskini kwa uongo, hata wakati ambapo hoja za mhitaji ni za haki.
8
Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana, na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options