मुख्य मजकुरावर जा
Isaya 32:3-4

Isaya 32:3-4

3
Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena, nayo masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.
4
Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa, nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options