Skip to content
Isaya 32:3-4

Isaya 32:3-4

3
Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena, nayo masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.
4
Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa, nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options