Isaya 32:1-2
1
Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu na watawala watatawala kwa haki.
2
Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo na kimbilio kutokana na dhoruba, kama vijito vya maji jangwani na kivuli cha mwamba mkubwa katika ardhi yenye kiu.