Skip to content
Isaya 3:13-14

Isaya 3:13-14

13
Bwana anachukua nafasi yake mahakamani, anasimama kuhukumu watu.
14
Bwana anaingia katika hukumu dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake: “Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu, mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options