Isaya 3:13-14
13
Bwana anachukua nafasi yake mahakamani, anasimama kuhukumu watu.
14
Bwana anaingia katika hukumu dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake: “Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu, mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.