Skip to content
Isaya 27:1-2

Isaya 27:1-2

1
Katika siku ile, Bwana ataadhibu kwa upanga wake, upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu, ataadhibu Lewiathani yule nyoka apitaye kwa mwendo laini, Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda; atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.
2
Katika siku ile: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options