Skip to content
Isaya 24:5-6

Isaya 24:5-6

5
Dunia imetiwa unajisi na watu wake; wameacha kutii sheria, wamevunja amri na kuvunja agano la milele.
6
Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia, watu wake lazima waichukue hatia yao. Kwa hiyo wakazi wa dunia wameteketezwa, nao waliosalia ni wachache sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options