Skip to content
Isaya 21:14-15

Isaya 21:14-15

14
leteni maji kwa wenye kiu, ninyi mnaoishi Tema, leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.
15
Wanaukimbia upanga, kutoka upanga uliochomolewa alani, kutoka upinde uliopindwa, na kutoka kwenye joto la vita.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options