Skip to content
Isaya 20:1-2

Mazingira ya Kihistoria na Amri ya Kinabii

Isaya 20:1-2
1
Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
2
wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options