Skip to content
Isaya 2:18-20

Isaya 2:18-20

18
nazo sanamu zitatoweka kabisa.
19
Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba, na kwenye mahandaki ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
20
Siku ile, watu watawatupia panya na popo sanamu zao za fedha na za dhahabu, walizozitengeneza ili waziabudu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options