Skip to content
Isaya 16:13-14

Isaya 16:13-14

13
Hili ndilo neno ambalo Bwana ameshasema kuhusu Moabu.
14
Lakini sasa Bwana anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options