Skip to content
Isaya 13:17-18

Isaya 13:17-18

17
Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao, ambao hawajali fedha wala hawafurahii dhahabu.
18
Mishale yao itawaangusha vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga wala hawataangalia watoto kwa huruma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options