Zum Inhalt springen
Isaya 12:1-2

Isaya 12:1-2

1
Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
2
Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options