Skip to content
Isaya 11:4-5

Isaya 11:4-5

4
bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji, kwa haki ataamua wanyenyekevu wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, kwa pumzi ya midomo yake atawaua waovu.
5
Haki itakuwa mkanda wake na uaminifu utakuwa mshipi kiunoni mwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options