Skip to content
Isaya 11:2-3

Isaya 11:2-3

2
Roho wa Bwana atakaa juu yake, Roho wa hekima na wa ufahamu, Roho wa shauri na wa uweza, Roho wa maarifa na wa kumcha Bwana
3
naye atafurahia kumcha Bwana. Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake, wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa masikio yake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options