Skip to content
Isaya 10:33-34

Isaya 10:33-34

33
Tazama, Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atayakata matawi kwa nguvu kuu. Miti mirefu sana itaangushwa, ile mirefu itashushwa chini.
34
Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options