Fò sí àkóónú
Isaya 10:1-2

Isaya 10:1-2

1
Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea,
2
kuwanyima maskini haki zao na kuzuilia haki za watu wangu walioonewa, kuwafanya wajane mawindo yao na kuwanyangʼanya yatima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options