Skip to content
Hosea 9:16-17

Hosea 9:16-17

16
Efraimu ameharibiwa, mzizi wao umenyauka, hawazai tunda. Hata kama watazaa watoto, nitawachinja watoto wao waliotunzwa vizuri.”
17
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii; watakuwa watu wa kutangatanga miongoni mwa mataifa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options