Skip to content
Hosea 4:6-8

Hosea 4:6-8

6
watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
7
Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
8
Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options