Skip to content
Hosea 4:4-5

Hosea 4:4-5

4
“Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
5
Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options