Skip to content
Hosea 2:18-20

Hosea 2:18-20

18
Katika siku ile nitafanya Agano kwa ajili yao na wanyama wa kondeni, na ndege wa angani, na viumbe vile vitambaavyo ardhini. Upinde, upanga na vita, nitaondolea mbali katika nchi, ili kwamba wote waweze kukaa salama.
19
Nitakuposa uwe wangu milele; nitakuposa kwa uadilifu na haki, kwa upendo na huruma.
20
Nitakuposa kwa uaminifu, nawe utamkubali Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options