Skip to content
Hosea 10:6-8

Hosea 10:6-8

6
Itachukuliwa kwenda Ashuru kama ushuru kwa mfalme mkuu. Efraimu atafedheheshwa; Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu zake za mti.
7
Samaria na mfalme wake wataelea kama kijiti juu ya uso wa maji.
8
Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu pataharibiwa: ndiyo dhambi ya Israeli. Miiba na mibaruti itaota na kufunika madhabahu zao. Kisha wataiambia milima, “Tufunikeni!” na vilima, “Tuangukieni!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options