Skip to content
Hosea 10:6-8

Hosea 10:6-8

6
Itachukuliwa kwenda Ashuru kama ushuru kwa mfalme mkuu. Efraimu atafedheheshwa; Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu zake za mti.
7
Samaria na mfalme wake wataelea kama kijiti juu ya uso wa maji.
8
Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu pataharibiwa: ndiyo dhambi ya Israeli. Miiba na mibaruti itaota na kufunika madhabahu zao. Kisha wataiambia milima, “Tufunikeni!” na vilima, “Tuangukieni!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options