Skip to content
Waebrania 9:1-2

Waebrania 9:1-2

1
Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia.
2
Hema ilitengenezwa. Katika sehemu yake ya kwanza kulikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyowekwa wakfu; hii sehemu iliitwa Mahali Patakatifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options