ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Waebrania 7:9-10

Waebrania 7:9-10

9
Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu,
10
kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options