Skip to content
Waebrania 7:20-21

Waebrania 7:20-21

20
Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,
21
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’ ”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options