Skip to content
Waebrania 7:18-19

Waebrania 7:18-19

18
Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa
19
(kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options