Skip to content
Waebrania 6:4-5

Waebrania 6:4-5

4
Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,
5
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options