Skip to content
Waebrania 6:13-14

Waebrania 6:13-14

13
Mungu alipompa Abrahamu ahadi yake, kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu kuliko yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina lake, aliapa kwa nafsi yake,
14
akisema, “Hakika nitakubariki na kukupa wazao wengi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options