Skip to content
Waebrania 5:5-6

Waebrania 5:5-6

5
Pia Kristo hakujitwalia utukufu yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani Mkuu, bali Mungu alimwambia, “Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuzaa.”
6
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options