Fò sí àkóónú
Waebrania 4:9-11

Waebrania 4:9-11

9
Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;
10
kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.
11
Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options