Skip to content
Waebrania 3:18-19

Waebrania 3:18-19

18
Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?
19
Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options