Skip to content
Waebrania 13:8-9

Waebrania 13:8-9

8
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele.
9
Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya kigeni. Ni vyema mioyo yenu iimarishwe kwa neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa vyakula, ambavyo havina faida kwa wale wanaozishika hizo sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options