मुख्य सामग्री पर जाएँ
Waebrania 12:10-11

Waebrania 12:10-11

10
Baba zetu walituadibisha kwa kitambo kidogo kama wao wenyewe walivyoona vyema, lakini Mungu hutuadibisha kwa faida yetu ili tupate kushiriki utakatifu wake.
11
Kuadibishwa wakati wowote hakuonekani kuwa kitu cha kufurahisha bali chenye maumivu kinapotekelezwa. Lakini baadaye huzaa matunda ya haki na amani kwa wale waliofunzwa nayo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options