Skip to content
Waebrania 10:35-36

Waebrania 10:35-36

35
Kwa hiyo msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kubwa mno.
36
Inawapasa kuvumilia ili mkiisha kufanya mapenzi ya Mungu mpate kile alichoahidi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options