Skip to content
Waebrania 10:30-31

Waebrania 10:30-31

30
Kwa kuwa tunamjua yeye aliyesema, “Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.” Tena asema, “Bwana atawahukumu watu wake.”
31
Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options