Skip to content
Waebrania 10:29-31

Waebrania 10:29-31

29
Je, mnadhani ni adhabu kali kiasi gani anayostahili kupewa mtu aliyemkanyaga Mwana wa Mungu chini ya nyayo zake, yeye aliyeifanya damu ya Agano iliyomtakasa kuwa kitu najisi na kumtendea maovu Roho wa neema?
30
Kwa kuwa tunamjua yeye aliyesema, “Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.” Tena asema, “Bwana atawahukumu watu wake.”
31
Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options