मुख्य मजकुरावर जा
Waebrania 10:19-20

Waebrania 10:19-20

19
Kwa hiyo, ndugu zangu, kwa kuwa tunao ujasiri wa kupaingia Patakatifu pa Patakatifu kwa damu ya Yesu,
20
kwa njia mpya iliyo hai tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile pazia, yaani, mwili wake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options