Skip to content
Waebrania 10:16-18

Waebrania 10:16-18

16
“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
17
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
18
Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options