Skip to content
Waebrania 10:16-18

Waebrania 10:16-18

16
“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
17
Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
18
Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options