Skip to content
Waebrania 1:10-14

Waebrania 1:10-14

10
Pia asema, “Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia, nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
11
Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu; zote zitachakaa kama vazi.
12
Utazikungʼutakungʼuta kama joho, nazo zitachakaa kama vazi. Lakini wewe hubadiliki, nayo miaka yako haikomi kamwe.”
13
Je, ni kwa malaika yupi ambaye Mungu amepata kumwambia wakati wowote, “Keti mkono wangu wa kuume, hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako”?
14
Je, malaika wote si roho watumikao, waliotumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options