Skip to content
Habakuki 3:5-6

Habakuki 3:5-6

5
Tauni ilimtangulia; maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.
6
Alisimama, akaitikisa dunia; alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke. Milima ya zamani iligeuka mavumbi na vilima vilivyozeeka vikaanguka. Njia zake ni za milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options