Skip to content
Habakuki 3:17-18

Habakuki 3:17-18

17
Ingawa mtini hauchanui maua na hakuna zabibu juu ya mizabibu, ingawaje mzeituni hauzai, na hata mashamba hayatoi chakula, iwapo hakuna kondoo katika banda, wala ngʼombe katika zizi,
18
hata hivyo nitashangilia katika Bwana, nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options