Skip to content
Habakuki 1:6-7

Habakuki 1:6-7

6
Nitawainua Wakaldayo, watu hao wakatili na wenye haraka, ambao hupita dunia yote kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.
7
Ni watu wanoogopwa na wanaotisha; wenyewe ndio sheria yao, na huinua heshima yao wenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options