Skip to content
Habakuki 1:5-6

Habakuki 1:5-6

5
“Yatazame mataifa, uangalie na ushangae kabisa. Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu ambacho hungeamini, hata kama ungeambiwa.
6
Nitawainua Wakaldayo, watu hao wakatili na wenye haraka, ambao hupita dunia yote kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options