உள்ளடக்கத்திற்குச் செல்க
Mwanzo 9:18-19

Mwanzo 9:18-19

18
Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.)
19
Hawa ndio waliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana nao watu walienea katika dunia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options