Skip to content
Mwanzo 9:15-16

Mwanzo 9:15-16

15
nitakumbuka Agano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhai wote.
16
Wakati wowote upinde wa mvua unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka Agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina duniani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options