ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Mwanzo 6:5-6

Mwanzo 6:5-6

5
Bwana akaona jinsi uovu wa mwanadamu ulivyokuwa mkubwa duniani, na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu.
6
Bwana akasikitika kwamba alimuumba mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options